Tuesday, November 4, 2014

Site Upanga Azam tv.

Rangers Madishi leo tupo Upanga kwenye jengo la Kushi Apartment ghorofa ya 10 tukifunga Azam tv.


Sasa kazi inaanza kuliunda dishi pamoja na kuliwekea signal.


Signal tayari zimeshapatikana imebaki kupitisha waya.


Hapo kazi imeshakamilika kazi kwako ndugu mteja kufurahia vipindi vya Azam tv.




Rangers Madishi tunatoa shukrani za dhati kwa Kushi Apartment group kwa ushirikiano ambao tuliokua nao kwanzia mwanzo wa kazi mpaka kuitimisha kazi.




Rangers Madishi tupo kwajili yako popote ulipo tunakufikia...!


No comments:

Post a Comment