Friday, November 7, 2014

Dstv

Rangers Madishi tupo Salasala tukirekebisha Dishi la Dstv lililopoteza signal kutokana na sehemu iliyofungwa kutokuwa imara kuweza kuhimili kasi ya upepo na kusababisha kupoteza signal.


 Kazi inaanza kulifungua dishi kwajili ya kulihamishia sehemu sahihi.



Fundi akiwa anafunga vizuri standy kwajili ya kuliweka dishi na kulitafutia Signal.



Kazi imeshakamilika sasa kazi ni kwako ndugu mteja kufwatilia vipindi vizuri kutoka Dstv.


RANGERS MADISHI TUPO KWAJILI YAKO POPOTE ULIPO TUNAKUFIKIA 

No comments:

Post a Comment