Tuesday, June 30, 2015

Mabadiliko ya bei ya malipo ya mwezi king'amuzi cha Azam Tv

Rangers madishi tunapenda kuwajulisha wateja wetu kwanzia tarehe 1/7/2015 king'amuzi cha Azam tv bei ya malipo ya mwezi(month subscription) itaongeza kutokana na kupanda kwa dhamani pesa za
kigeni(Dollar), pia naongezeko la kodi ya Serikali.

 Hivyo basi Rangers Madishi tunapenda kuwajulisha sasa kifurushi cha
Azam play Tsh 30,000
Azam Plus Tsh 20,000
Azam Pure Tsh 12,000
Hindi Chanel Tsh 6,000

Karibu sana Rangers Madishi.

No comments:

Post a Comment