Wednesday, November 19, 2014

Je wajua Tv ikikaa ukutani inavyopendeza katika nyumba yako..?

Rangers Madishi tukiwa tunazidi kufanya vizuri katika kazi zetu za ufundi tupo Tegeta tukifunga Tv ukutani kwa mtindo wa kisasa katika hali ya usafi.

Tazama Tv muonekano wake wa mwanzo ilivyokua imewekwa chini.


Sasa kazi ndo inaanza kuifunga Tv ukutani. Ila kitu cha kwanza kabla ya kuifunga tv yako ukutani lazima uangalie upande upi ambao tv ikifungwa ukutani itapendeza zaidi na pia lazima uangalie sebule jinsi ilivyokaa. 

Hatua ya kwanza lazima upime stendi yako ukutani na kuweka alama kwajili ya kutoboa. Na zingatia sana stendi isiwe juu sana wala chini sana.


Tunaanza kutoboa matundu kwajili ya kufunga stendi
.

 Tv ipo ukutani

Hapo fundi anachukua vipimo kwajili ya namna atakavyozificha nyaya hizo zilizozagaa kwenye Ukuta.

Sasa tv ipo tayari 

Tazama sasa sebule inavyovutia.


Karibu Rangers Madishi ujipatie huduma nzuri na safi

RANGERS MADISHI POPOTE ULIPO TUNAKUFIKIA KWA WAKATI.!

No comments:

Post a Comment