Rangers Madishi tukishirikiana na Kampuni ya Solar Grid tupo mkoani Mtwara tukifunga Solar ambayo inauwezo wa kuwasha taa 4,Tv, pamoja na king'amuzi cha Azam tv.
Kazi ya kulifunga dishi ikiwa tayari imeshakamilika.
kazi ya kuzifunga Taa pamoja na tv ikiwa imekamilika.
Tanzania bila Giza inawezekana kwa mawasiliano zaidi kuhusu huduma zetu wasiliana nasi kupitia 0719 154 554.
Popote ulipo tunakufikia..!