Thursday, January 15, 2015

STARTIMES YAZINDUA KIFURUSHI KIPYA Tsh 4,000 KWA MWEZI.

Habari nzuri kwa wateja wetu wa ving'amuzi vya Startimes leo kifurushi kipya cha NYOTA kimezinduliwa rasmi, sasa unaweza lipia sh.4,000/= tu utapata chaneli 17 kwa mwezi mzima.


KARIBU RANGERS MADISHI POPOTE ULIPO TUNAKUFIKIA.

Friday, January 2, 2015

SITE UPANGA JENGO LA FK INTERNATIONAL APARTMENT

Rangers Madishi tukiwa tunazidi kupata pongezi kwa kazi zetu nzuri leo tupo Upanga kwenye Jengo la FK INTERNATIONAL APARTMENT.


Katika jengo hili la FK INTERNATIONAL tulikua tunafunga king'amuzi cha Dstv pamoja nakufunga meza ya kubeba tv ukutani.

Hapo fundi akiwa anafunga Dishi la Dstv.



Baada ya kufunga dishi la Dstv tunaanza chumbani kuweka tv pamoja na meza yake kwenye ukuta.


Baada ya kumaliza kuweka Tv chumbani sasa tunamalizia kuweka Tv sebuleni.


Karibu Rangers Madishi ujipatie huduma nzuri na safi, kwa mawasiliano zaidi wasiliana nasi no: 0719 154 554.

RANGERS MADISHI TUPO KWAJILI YAKO

POPOTE ULIPO TUNAKUFIKIA..!