Saturday, December 27, 2014

RANGERS MADISHI SITE UPANGA

Rangers Madishi leo tukiwa Upanga tukifanya kazi ya kufunga cable kwenye Apartment.


 Fundi akiwa anafanya kazi yake katika hali ya utulivu na umakini zaidi.

Karibu Rangers Madishi kwa huduma nzuri na safi za Digital & Satellite.

Friday, December 26, 2014

HIGHLAND VILLAS APARTMENT TUKIFUNGA DSTV

Rangers Madishi asubuhi ya leo tupo  HIGHLAND VILLAS APARTMENT tukifunga dishi za DSTV 6 katika apartment tofauti, na kazi ndivyo inavyoendelea sasa hivi.






  

  Kwa huduma nzuri na safi za Satellite  karibu RANGERS MADISHI.

RANGERS MADISHI POPOTE ULIPO TUNAKUFIKIA KWA WAKATI..!

 

Thursday, December 25, 2014

RANGERS MADISHI TUNAWATAKIA SIKUKUU NJEMA

Uongozi wa RANGERS MADISHI tunapenda kutoa shukrani zetu za dhati kwa wadau na wateja kwa kuwa pamoja nasi toka tunaanza na mpaka sasa tunamaliza mwaka. Rangers Madishi tunashukuru sana na tunaahidi kuboresha huduma zetu katika kila sekta. Tunapenda kuwatakia sikukuu njema.



Saturday, December 13, 2014

AZAM TV MWENDO ULE ULE.

Azam tv ikiwa imejipanga vizuri katika kutoa burudani kwa wateja wake Leo tarehe 13/12/2014 itarusha matangazo yake live  kupitia Azam One mechi ya Mtani jembe kati ya Simba Vs Yanga. Mechi itaanza saa 10:00 kamili Alasiri.


Karibu Rangers Madishi.

RANGERS MADISHI POPOTE ULIPO TUNAKUFIKIA KWA WAKATI..!

Monday, December 1, 2014

CHANNEL YA ITV KUANZA LEO KWENYE KING'AMUZI CHA DSTV.

Ndugu mteja tunapenda kukujuza kwanzia leo mishale ya saa 5 Asubuhi channel ya ITV itaanza kufanya kazi katika king'amuzi chako cha Dstv. Itapatikana katika no 293. ITV DAIMA ndani ya Dstv.


Karibu Rangers Madishi uhudumiwe vizuri 

RANGERS MADISHI POPOTE ULIPO TUNAKUFIKIA...!

OFA OFA DSTV YENYE MFUMO WA HD KWA TSH 99,000.

Pata king'amuzi cha Dstv  HD kwa Tsh 99,000.



Kwa bei ya Tsh 99,000 utapata king'amuzi cha Dstv HD + HDMI cable + AV cable + Adapter + Dish pamoja na Ufundi.



Wahi sasa OFA bado inaendelea.




Karibu Rangers Madishi

RANGERS MADISHI POPOTE ULIPO TUNAKUFIKIA...!