Rangers Madishi asubuhi ya leo tupo HIGHLAND VILLAS APARTMENT tukifunga dishi za DSTV 6 katika apartment tofauti, na kazi ndivyo inavyoendelea sasa hivi.
Kwa huduma nzuri na safi za Satellite karibu RANGERS MADISHI.
RANGERS MADISHI POPOTE ULIPO TUNAKUFIKIA KWA WAKATI..!
Uongozi wa RANGERS MADISHI tunapenda kutoa shukrani zetu za dhati kwa wadau na wateja kwa kuwa pamoja nasi toka tunaanza na mpaka sasa tunamaliza mwaka. Rangers Madishi tunashukuru sana na tunaahidi kuboresha huduma zetu katika kila sekta. Tunapenda kuwatakia sikukuu njema.
Azam tv ikiwa imejipanga vizuri katika kutoa burudani kwa wateja wake Leo tarehe 13/12/2014 itarusha matangazo yake live kupitia Azam One mechi ya Mtani jembe kati ya Simba Vs Yanga. Mechi itaanza saa 10:00 kamili Alasiri.
Karibu Rangers Madishi.
RANGERS MADISHI POPOTE ULIPO TUNAKUFIKIA KWA WAKATI..!
Ndugu mteja tunapenda kukujuza kwanzia leo mishale ya saa 5 Asubuhi channel ya ITV itaanza kufanya kazi katika king'amuzi chako cha Dstv. Itapatikana katika no 293. ITV DAIMA ndani ya Dstv.