Friday, February 13, 2015

OFA OFA RANGERS MADISHI KWANZIA TAREHE 14/02/2015 INATOA PUNGUZO LA BEI KING'AMUZI CHA AZAM TV KWA TSH 155,000/=.

Rangers Madishi tunatoa punguzo la bei king'amuzi cha Azam tv kwa Tsh 155,000/= badala ya 177,500. Kwa bei ya Tsh 155,000/= utapata king'amuzi cha Azam tv + remote + dishi + ufundi. Pia itabidi ulipie 12,500 kwajili ya mwezi wa kwanza.




Punguzo hili la bei utaipata RANGERS MADISHI tu. Ofa hii ni kwanzia tarehe 14/02/2015 mpaka tarehe 28/02/2015.

RANGERS MADISHI TUNASAMBAZA UPENDO..!

OFA OFA...! PUNGUZO LA BEI KING'AMUZI CHA DSTV KUTOKA Tsh99,000 MPAKA Tsh89,000. RANGERS MADISHI SAMBAZA UPENDO.

Rangers Madishi tunatoa punguzo la bei king'amuzi cha Dstv yenye mfumo wa HDMI kwa Tsh89,000 badala ya Tsh99,000 iliyopo sasa. Punguzo hili la bei utaipata Rangers Madishi tu. Nikwanzia tarehe 14/2/2015 mpaka 28/2/2015.


Kwa bei ya Tsh  89,000 utapaka king'amuzi cha Dstv + remote + dishi + Hdmi cable + ufundi.

RANGERS MADISHI TUNASAMBAZA UPENDO ...!


RANGERS MADISHI SITE MWEMBECHAI TUKIFUNGA DSTV / AZAM TV / E.tv PAMOJA NA KUWEKA TV UKUTANI.

Rangers Madishi wakala wa ving'amuzi vyote. Tunao mafundi hodari wakufunga madishi ya aina zote. 

Rangers Madishi leo mmoja kati ya mafundi wetu akiwa Mwembechai akiwa anafunga king'amuzi cha Dstv, Azam Tv, E.tv pamoja na kufunga Tv ukutani na standy ya decorder ukutani.




Fundi Awadh akifunga Tv ukutani katika hali ya usafi.


Sasa kazi nzima ya kufunga madishi  pamoja na Tv ukutani imekamilika.


Kwa huduma zetu za Satellite  wasiliana nasi kupitia no; 0719 154 554 / 0737 216 792,

RANGERS MADISHI POPOTE ULIPO TUNAKUFIKIA..!


RANGERS MADISHI SITE BUNJU B TUKIFUNGA AZAM TV.

Rangers Madishi moja kati ya mafundi wetu akiwa Bunju B akifunga king'amuzi cha Azam tv. 


Fundi akiwa anahakikisha bolt za Dishi kwa kuzikaza vizuri.


Kwa huduma zetu tupigie simu no: 0719 154 554 au 0737 216 792.

KARIBU RANGERS MADISHI 
TUPO KWAJILI YAKO..!

Wednesday, February 4, 2015

RANGERS MADISHI TUKIFUNGA DSTV KAMPUNI YA SOLAR GRID TANZANIA LTD ILIYOKO MAKONGO JUU.

Rangers Madishi tukiwa Makongo juu tukifunga king'amuzi cha Dstv.


Fundi Imani pamoja na Awadhi  wakiwaelekeza Viongozi  wa SOLAR GRID TANZANIA Ltd namna yakufunga king'amuzi cha Dstv.






Rangers Madishi tunatoa shukrani zetu za dhati kwa Kampuni ya SOLAR GRID TANZANIA Ltd kwa ushirikiano wenu.  

RANGERS MADISHI POPOTE ULIPO TUNAKUFIKIA KWA WAKATI...!