Friday, October 2, 2015

JE WAJUA UNAWEZA KUANGALIA LIGI YA UINGEREZA KWA BEI CHEEE..!

 Kutokana na kupanda kwa bei ya malipo ya mwezi king'amuzi cha Dstv, wateja wengi wamekua wakijuliza maswali namna yakuweza kufuatilia tena ligi mbalimbali barani Ulaya. 


Rangers Madishi tunapenda kuwatoa hofu wateja wetu unaweza kupata kuangalia ligi kama vile ya Uingereza(Premium league) na nyinginezo kwa bei nafuu kabisa ya kila mwezi.


Kwamawasiliano zaidi wasiliana nasi kupitia no: 0737 216792  



RANGERS MADISHI POPOTE ULIPO TUPO..!

*OFA* *OFA* *OFA* JIPATIE KING'AMUZI CHA DSTV KWA BEI NAFUU

Bei mpya ya king'amuzi cha DSTV Zapper HD kwa Sh 79,000/= kwa bei hiyo unatapa decorder ya Zapper yenye mfumo wa HD, Remote,  Ku Lnb pamoja na dishi. Pia mteja itakugharimu kulipia ufundi, na gharama ya ufundi ni Tsh 30,000/= tu.