Kampuni ya Azam tv leo imezindua promosheni ya kila mwaka iitwayo Mtonyo Chap Chap, Mtonyo Chap Chap inawapa fursa wateja wa Tv kurejesha thamani ya matumizi yao ya ving'amuzi vya kampuni hiyo. Ili kuingia katika droo hii ndugu mteja unatakiwa kununua king'amuzi kipya cha Azam tv na kukiwekea malipo ya mwezi 1 na washindi 100 watakuwa wanapata zawadi kila siku.
Tuesday, November 25, 2014
Monday, November 24, 2014
BEI MPYA YA KING'AMUZI CHA STARTIMES KUTOKA Tsh 79,000 MPAKA Tsh 59,000
Ndugu mteja tunapenda kukujuza bei mpya ya king'amuzi cha STARTIMES kwa sasa ni Tsh 59,000 pamoja na mwezi mmoja wa kifurushi cha KILI. Furahia na STARTIMES kwa msimu huu wa sikukuu.
Karibu Rangers Madishi
RANGERS MADISHI POPOTE ULIPO TUNAKUFIKIA...!
Saturday, November 22, 2014
DSTV / TANDALE
King'amuzi cha Dstv kikiwa kinaendelea kufanya vizuri katika mauzo nchini Tanzania, Ranger Madishi nasi tukifanya vizuri katika kuuza na kufunga dishi za DSTV katika hali ya usafi na yakupendeza.
Hatua inayofuata ni kufitisha stendi ya Dishi ukutani.
Dishi ipo tayari.
Hatua inayofuata ni kufitisha stendi ya Dishi ukutani.
Dishi ipo tayari.
Karibu Rangers Madishi uhudumiwe kwa wakati.
RANGER MADISHI POPOTE ULIPO TUNAKUFIKIA KWA WAKATI...!
DSTV / GONGOLAMBOTO (MAJOE)
Rangers Madishi tukiwa Gongolamboto tukifunga king'amuzi cha Dstv.
Baada ya kuliunganisha dishi tunafitisha stendi ya dishi ukutani katika hali ya usafi.
Sasa tunatafuta signal za DSTV.
Signal tayari tumeshazipata sasa tunaunganisha king'amuzi cha DSTV na Tv.
Furahia na endelea kufuatilia vipindi vya DSTV.
Karibu Rangers Madishi upate huduma nzuri na safi
Karibu Rangers Madishi tupo kwajili yako.
RANGERS MADISHI POPOTE ULIPO TUNAKUFIKIA...
Wednesday, November 19, 2014
Je wajua Tv ikikaa ukutani inavyopendeza katika nyumba yako..?
Rangers Madishi tukiwa tunazidi kufanya vizuri katika kazi zetu za ufundi tupo Tegeta tukifunga Tv ukutani kwa mtindo wa kisasa katika hali ya usafi.
Tazama Tv muonekano wake wa mwanzo ilivyokua imewekwa chini.
Sasa kazi ndo inaanza kuifunga Tv ukutani. Ila kitu cha kwanza kabla ya kuifunga tv yako ukutani lazima uangalie upande upi ambao tv ikifungwa ukutani itapendeza zaidi na pia lazima uangalie sebule jinsi ilivyokaa.
Hatua ya kwanza lazima upime stendi yako ukutani na kuweka alama kwajili ya kutoboa. Na zingatia sana stendi isiwe juu sana wala chini sana.
Tunaanza kutoboa matundu kwajili ya kufunga stendi
.
Tv ipo ukutani
Hapo fundi anachukua vipimo kwajili ya namna atakavyozificha nyaya hizo zilizozagaa kwenye Ukuta.
Sasa tv ipo tayari
Tazama sasa sebule inavyovutia.
Karibu Rangers Madishi ujipatie huduma nzuri na safi
RANGERS MADISHI POPOTE ULIPO TUNAKUFIKIA KWA WAKATI.!
Tuesday, November 18, 2014
Dstv MTONGANI KIJICHI
King'amuzi cha Dstv kikiwa kinaongoza kutoa huduma nzuri Rangers Madishi tupo Mtongani Kijichi tukifunga Dstv.
Hatua inqayofuata ni kuunganisha dishi pamoja na kulitafutia signal.
Sasa king'amuzi chetu cha Dstv kipo tayari kwa kuangalia.
Karibu Rangers Madishi hufurahie huduma zetu
RANGERS MADISHI POPOTE ULIPO TUNAKUFIKIA...!
Saturday, November 15, 2014
DAR MPAKA CHALINZE
Rangers Madishi tupo chalinze tukitathimini Ukumbi huu.
Ukumbi huu unatakiwa kufungwa Tv 6, pamoja na Projecta 4
RANGERS MADISHI POPOTE ULIPO TUNAKUFIKIA...!
Friday, November 7, 2014
JINSI YA KUWEKA FLAT SCREEN UKUTANI BILA NYAYA KUONEKANA.
Hii limekuwa ni tatitzo kubwa miongoni mwetu, maana utakuta nyumba nzuri, sebule nzuri ila kwenye ukuta wa Tv nyaya kibao kiasi kwamba sasa inaharibu muonekano na kua kama uchafu.
Huu ndio muonekano wa Tv katika nyumba zetu.
Sasa kazi inaanza kuzipitisha nyaya za speaker kabla ya kuweka Flat ukutani.
Flat screen tayari ipo ukutani
Na huu ndio muonekano wa Tv yako ambavyo tayari tumeshaingiza nyaya na hazionekani nyuma ya Tv yako.
Karibu Rangers Madishi ujipatie huduma safi kutoka kwetu. kwa mawasiliano wasiliana nasi kupitia no:0719 154554 / 0737 216792.
RANGERS MADISHI TUPO KWAJILI YAKO POPOTE ULIPO TUNAKUFIKIA.
Azam tv
Rangers Madishi tukiwa tunatokomeza dishi ambazo zimefungwa chini ya viwango. Tupo tandale tukihamisha dishi la Azam tv ambalo lilifungwa kwenye mbao zilizooza.
Hapo fundi akiwa anafunga standy kiumakini.
Fundi anaweka signal za Azam tv.
Karibu Rangers Madishi uhudumiwe vizuri na gharama zetu ni nafuu.
RANGERS MADISHI TUPO KWAJILI YAKO POPOTE ULIPO TUNAKUFIKIA.
Dstv
Rangers Madishi tupo Salasala tukirekebisha Dishi la Dstv lililopoteza signal kutokana na sehemu iliyofungwa kutokuwa imara kuweza kuhimili kasi ya upepo na kusababisha kupoteza signal.
Kazi inaanza kulifungua dishi kwajili ya kulihamishia sehemu sahihi.
Fundi akiwa anafunga vizuri standy kwajili ya kuliweka dishi na kulitafutia Signal.
Kazi imeshakamilika sasa kazi ni kwako ndugu mteja kufwatilia vipindi vizuri kutoka Dstv.
RANGERS MADISHI TUPO KWAJILI YAKO POPOTE ULIPO TUNAKUFIKIA
Tuesday, November 4, 2014
Site Upanga Azam tv.
Rangers Madishi leo tupo Upanga kwenye jengo la Kushi Apartment ghorofa ya 10 tukifunga Azam tv.
Sasa kazi inaanza kuliunda dishi pamoja na kuliwekea signal.
Signal tayari zimeshapatikana imebaki kupitisha waya.
Hapo kazi imeshakamilika kazi kwako ndugu mteja kufurahia vipindi vya Azam tv.
Rangers Madishi tunatoa shukrani za dhati kwa Kushi Apartment group kwa ushirikiano ambao tuliokua nao kwanzia mwanzo wa kazi mpaka kuitimisha kazi.
Rangers Madishi tupo kwajili yako popote ulipo tunakufikia...!
Monday, November 3, 2014
Je wajua unaweza kuangalia Ligi kuu zote barani Ulaya kwa gharama nafuu Mwaka mzima.?
Ndugu mteja Rangers Madishi tunakujuza unaweza kuangalia Ligi kuu zote barani Ulaya kwa gharama nafuu ukitumia king'amuzi cha Humax.
Jipatie king'amuzi cha Humax kwa Tsh 480,000 ikiwa tayari imeshafanyiwa malipo ya mwaka mzima.
Jipatie king'amuzi cha Humax kwa Tsh 480,000 ikiwa tayari imeshafanyiwa malipo ya mwaka mzima.
RANGERS MADISHI POPOTE ULIPO TUNAKUFIKIA
Dstv Tanzania
Ndugu mteja tunaomba radhi kwa uhaba wa ving'amuzi vyetu vya Dstv. Tunatarajia kwanzia wiki ijayo mzigo wa kutosha utakua unaingia.
Site Chalinze
Rangers Madishi leo tupo Chalinze Mkoa wa Pwani tukitathimini namna ambavyo tutafanya kazi kiufanisi zaidi katika kufunga Madishi yetu pamoja na kuweka Tv 18 ukutani katika Hoteli hii inayokaribia kufunguliwa.
Karibu Rangers Madishi ujipatie huduma nzuri kutoka kwetu.
Popote ulipo tunakufikia.
Labels:
azam tv,
dstv,
Rangers Madish
Location:
Mapipa, Dar es Salaam, Tanzania
Subscribe to:
Posts (Atom)