Rangers Madishi tukiwa tunatokomeza dishi ambazo zimefungwa chini ya viwango. Tupo tandale tukihamisha dishi la Azam tv ambalo lilifungwa kwenye mbao zilizooza.
Hapo fundi akiwa anafunga standy kiumakini.
Fundi anaweka signal za Azam tv.
Karibu Rangers Madishi uhudumiwe vizuri na gharama zetu ni nafuu.
No comments:
Post a Comment