Saturday, December 13, 2014

AZAM TV MWENDO ULE ULE.

Azam tv ikiwa imejipanga vizuri katika kutoa burudani kwa wateja wake Leo tarehe 13/12/2014 itarusha matangazo yake live  kupitia Azam One mechi ya Mtani jembe kati ya Simba Vs Yanga. Mechi itaanza saa 10:00 kamili Alasiri.


Karibu Rangers Madishi.

RANGERS MADISHI POPOTE ULIPO TUNAKUFIKIA KWA WAKATI..!

No comments:

Post a Comment