Azam tv ikiwa imejipanga vizuri katika kutoa burudani kwa wateja wake Leo tarehe 13/12/2014 itarusha matangazo yake live kupitia Azam One mechi ya Mtani jembe kati ya Simba Vs Yanga. Mechi itaanza saa 10:00 kamili Alasiri.
Karibu Rangers Madishi.
RANGERS MADISHI POPOTE ULIPO TUNAKUFIKIA KWA WAKATI..!
No comments:
Post a Comment