Thursday, January 15, 2015

STARTIMES YAZINDUA KIFURUSHI KIPYA Tsh 4,000 KWA MWEZI.

Habari nzuri kwa wateja wetu wa ving'amuzi vya Startimes leo kifurushi kipya cha NYOTA kimezinduliwa rasmi, sasa unaweza lipia sh.4,000/= tu utapata chaneli 17 kwa mwezi mzima.


KARIBU RANGERS MADISHI POPOTE ULIPO TUNAKUFIKIA.

No comments:

Post a Comment