Thursday, September 4, 2014

Azam tv + Tv installation

PATA HUDUMA NZURI NA SAFI KUTOKA RANGERS 



Moja ya kazi ambazo tumezifanya, na hii ikiwa mojawapo pande za mbezi beach sehemu maharufu inayojulikana kwa jina la Samaki. Katika jengo la Samaki tulifunga dishi la Azam tv pamoja na kuweka tv  ukutani. Hivi ndivyo kazi ilivyokua...



Fundi akiwa katika hatua za mwisho za kunganisha waya.



Na sasa kazi imekamilika.


No comments:

Post a Comment