PATA HUDUMA NZURI NA SAFI KUTOKA RANGERS
Moja ya kazi ambazo tumezifanya, na hii ikiwa mojawapo pande za mbezi beach sehemu maharufu inayojulikana kwa jina la Samaki. Katika jengo la Samaki tulifunga dishi la Azam tv pamoja na kuweka tv ukutani. Hivi ndivyo kazi ilivyokua...
Fundi akiwa katika hatua za mwisho za kunganisha waya.
Na sasa kazi imekamilika.
No comments:
Post a Comment