Thursday, September 4, 2014

Azam Tv inawaletea tena Vodacom Premier League



Wapenzi watazamaji wa mpira wa ligi ya Tanzania marufu kwa jina la Vodacom Premier League, Azam tv tumejipanga vyema  kurusha matangazo yetu live ya mechi zote zitakazo anza tarehe 20/09/2014.  

Azam tv mwanzo mwisho kwa burudani.

No comments:

Post a Comment